Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.55K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
– Unapata popup au errors zisizoeleweka

– Unapoteza control ya app fulani (mf. WhatsApp, Facebook)
📉 4. Hatari ya keylogger ni kubwa sana:

– Mtu anajua PIN ya simu yako

– Anaweza kupata password ya email yako au benki

– Anaweza kuona chats zako zote

– Anaweza hata ku-log in kwenye accounts zako bila OTP
🔍 7. Njia ya kuangalia apps za ajabu kwa haraka:

1. Nenda Settings > Apps > All Apps

2. Angalia apps zisizo na icon au jina la ajabu

3. Angalia apps zilizo na access ya “Usage Access” au “Device Admin” – chunguza zote
⚠️ 5. Keylogger ni aina ya spyware – na ni vigumu sana kuigundua kama hujui mbinu.
– Baadhi hujiita “Accessibility Tool”

– Nyingine hujificha kwenye app ya kawaida kama calculator

– Zinabaki nyuma ya system bila kuonekana screen
🧵 1. Keylogger ni nini?
Ni programu inayorekodi kila unachokiandika kwenye simu yako kila herufi, namba, password, message, search... kila kitu.

Na mbaya zaidi: hutuma taarifa hizo kwa mtu mwingine kisiri
Usitumie Wi-Fi ya bure isiyo na ulinzi

Futa apps usizozitumia mara kwa mara
📴 8. Ukiwa na mashaka:
– Tumia Safe Mode kuangalia kama tatizo linaendelea

– Fanya Factory Reset kama ni lazima (na uhakikishe huna malware kwenye backup)

– Badili password zako zote muhimu mara moja
🛡️ 6. Jinsi ya kujikinga:
Usifungue link usiyoielewa (hata kama ni ya promosheni)

Tumia Google Play Protect au antivirus ya kuaminika

Ruhusu apps chache sana ku-access “Accessibility” kwenye settings
📥 2. Unaweza kuwekewa keylogger kwa njia hizi:
– Kufungua link ya tapeli (phishing site)
– Kudownload app ya bandia (loan app, VPN, games)
– Kupokea file kwenye WhatsApp au Telegram
– Kutumia Wi-Fi ya bila password (public Wi-Fi)
︎ Teknolojia

💨 Nothing Phone 3 Pro?
@Huduma

💨Kushoto ni Motorola Razr 60 kulia ni Samsung flip 7.
Kuna mmoja kamcopy mwenzake kwa mbali
︎ Teknolojia

💨 Samsung Z Fold 7 ni nyembamba 🔥
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 7 (8+128) - 550K
▪️Pixel 7a (8+128) - 550K
▪️Pixel 8 (8+128) - 850K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.1M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.35M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.65M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.65M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 JBL SPEAKER (Original💯)

▪️JBL Go 3 - 145K
▪️JBL Go 4 - 190K
▪️JBL Flip6 - 300K
▪️JBL Flip7 - 380K
▪️JBL Charger5 - 450K
▪️JBL Charger6 - 550K
▪️JBL XTRME3 - 700K
▪️JBL XTRME4 - 840K
▪️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 COMING SOON COMING SOON
💥REDMI 15C💥

Kampuni ya Xiaomi wako mbioni kuzindua simu ya Redmi 15C.

Simu hii itakayokuwa na battery capacity ya 6000mAh pia itakuwa na Android 15, HyperOS 2.

Pia Storage yake ni 128GB & 256GB
RAM ikiwa 4GB
Specifications nyingine
Key Features:
▪️6.88" HD+ 120HZ IPS Display
▪️4GB/128GB RAM/Storage
▪️Android 15/HyperOS
▪️50MP Main Camera
▪️13MP Selfie Camera
▪️6000mah Battery/33W Charging
▪️Colours: Black, Blue, Gold, Green

Muonekano wake 👇
︎ Teknolojia

💨Picha imepigwa na Tecno Pova 7
︎ Teknolojia

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
💨 Kwani hizi siku za karibuni ni kitu gani kimetokea dar?

Maana kila sehemu kuna foleni.