Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.39K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

๐Ÿ’จ INFINIX HOT 60i๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

Infinix hot 60i specifications

๐Ÿ”‹ Battery: 5160mAh with 45W fast charging

๐Ÿ“บ Display: 6.7" HD+ IPS LCD, 120Hz refresh rate

โš™๏ธ Processor: MediaTek Helio G81 Ultimate

๐Ÿ’พ Memory: 4GB / 6GB / 8GB RAM + 128GB / 256GB storage (expandable via microSD)

๐Ÿ“ธ Cameras:

Rear: 50MP + AI lens

Front: 8MP with LED flash

๐Ÿ” Security: Side-mounted fingerprint sensor + Face unlock

๐Ÿ“ก Connectivity: 4G LTE, NFC, Bluetooth 5.3, Wi-Fi 5, USB-C, OTG support

๐Ÿ’ง Protection: IP64 dust and splash res
๐Ÿ†• Range Rover imebadilisha logo yake.

JLR imethibitisha kuwa nembo hiyo haitachukua nafasi ya maandishi ya kawaida ya โ€œRange Roverโ€ kwenye magari.

Badala yake, itatumika mahali ambapo alama kubwa haitoshi, kama kwenye lebo au matukio ya kifahari.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

Namna ya kufunga mkanda wa kwenye gari kwa wamama wenye mimba kwausalama zaidi
๐Ÿ‘€ 3. Unajuaje kama kuna keylogger kwenye simu yako?
โ€“ Simu inakuwa slow bila sababu

โ€“ Battery inaisha haraka sana

โ€“ Simu inapasha joto hata ukiwa huifanyi kazi
โ€“ Unapata popup au errors zisizoeleweka

โ€“ Unapoteza control ya app fulani (mf. WhatsApp, Facebook)
๐Ÿ“‰ 4. Hatari ya keylogger ni kubwa sana:

โ€“ Mtu anajua PIN ya simu yako

โ€“ Anaweza kupata password ya email yako au benki

โ€“ Anaweza kuona chats zako zote

โ€“ Anaweza hata ku-log in kwenye accounts zako bila OTP
๐Ÿ” 7. Njia ya kuangalia apps za ajabu kwa haraka:

1. Nenda Settings > Apps > All Apps

2. Angalia apps zisizo na icon au jina la ajabu

3. Angalia apps zilizo na access ya โ€œUsage Accessโ€ au โ€œDevice Adminโ€ โ€“ chunguza zote
โš ๏ธ 5. Keylogger ni aina ya spyware โ€“ na ni vigumu sana kuigundua kama hujui mbinu.
โ€“ Baadhi hujiita โ€œAccessibility Toolโ€

โ€“ Nyingine hujificha kwenye app ya kawaida kama calculator

โ€“ Zinabaki nyuma ya system bila kuonekana screen
๐Ÿงต 1. Keylogger ni nini?
Ni programu inayorekodi kila unachokiandika kwenye simu yako kila herufi, namba, password, message, search... kila kitu.

Na mbaya zaidi: hutuma taarifa hizo kwa mtu mwingine kisiri
โœ… Usitumie Wi-Fi ya bure isiyo na ulinzi

โœ… Futa apps usizozitumia mara kwa mara
๐Ÿ“ด 8. Ukiwa na mashaka:
โ€“ Tumia Safe Mode kuangalia kama tatizo linaendelea

โ€“ Fanya Factory Reset kama ni lazima (na uhakikishe huna malware kwenye backup)

โ€“ Badili password zako zote muhimu mara moja
๐Ÿ›ก๏ธ 6. Jinsi ya kujikinga:
โœ… Usifungue link usiyoielewa (hata kama ni ya promosheni)

โœ… Tumia Google Play Protect au antivirus ya kuaminika

โœ… Ruhusu apps chache sana ku-access โ€œAccessibilityโ€ kwenye settings
๐Ÿ“ฅ 2. Unaweza kuwekewa keylogger kwa njia hizi:
โ€“ Kufungua link ya tapeli (phishing site)
โ€“ Kudownload app ya bandia (loan app, VPN, games)
โ€“ Kupokea file kwenye WhatsApp au Telegram
โ€“ Kutumia Wi-Fi ya bila password (public Wi-Fi)
ใ€ฝ๏ธŽ Teknolojia

๐Ÿ’จ Nothing Phone 3 Pro?
@Huduma

๐Ÿ’จKushoto ni Motorola Razr 60 kulia ni Samsung flip 7.
Kuna mmoja kamcopy mwenzake kwa mbali