Teknolojia
132 subscribers
3.74K photos
4.4K videos
90 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
4. Kwa nini ni muhimu 2025?
➡️ Simu zimekuwa smart sana, apps zimejaa.
➡️ Watu hawataki kupoteza muda kufungua app moja moja.
➡️ AI button inarahisisha kila kitu kwa bonyeza moja tu.
︎ Teknolojia

💨KWANINI SIMU NYINGI ZA 2025 ZINA AI BUTTON 🔘 NA MATUMIZI YAKE NI YAPI?

Watu wengi wameanza kuona simu mpya zenye button ya AI upande wa pembeni, lakini hawajui inafanya nini haswa. Leo tuongee!

🧵👇
Kuchukua notes kwa sauti (voice-to-text)
Kufungua app unayotumia sana
AI assistant – kama Google Gemini au ChatGPT Mini
2. Mfano hai – HOT 60 5G+
Infinix wameita hii feature mpya:
👉 “One-Tap AI Button”
3. Inafanya kazi gani?
Hii button inaweza kusaidia:
Kufungua camera ya AI moja kwa moja
Kutafsiri (translate) haraka messages
1. AI Button ni nini?
Hii ni kitufe maalum kinachowekwa upande wa simu – kama Infinix HOT 60 5G+ – kwa ajili ya kufanya kazi mbalimbali kwa haraka kupitia akili bandia (AI).

Ni kama shortcut, lakini yenye akili 🤯
🔘 Infinix Hot 60 5G+ inakuja na One-Tap AI Button
Imewekwa chini ya volume na power button. Inaitwa “smart and seamless shortcut” — shortcut ya kisasa isiyo na usumbufu.
Unapogusa, AI Assistant inafunguka instantly.
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 7 (8+128) - 550K
▪️Pixel 7a (8+128) - 550K
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.1M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨Juzi nilielezea feature ya Glyph light kwenye simu ya Nothing Phone 3 na hii hapa ni miongoni mwake
︎ Teknolojia

💨Ukweli mtupu
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Namna ya kuseti simu yako mtu akikupigia aambiwe namba hii haipo.
5: Usitumie blow dryer au kuweka kwenye oven/moto!
Watu hujaribu kuikausha kwa joto kali – hilo linaweza kuharibu screen, betri, au circuits.

Ni hatari kuliko unavyofikiria.
4: Toa vitu vinavyotoka
– Toa SIM card
– Toa memory card (SD)
– Kama betri inawezekana kutolewa, iitoe pia

Lengo ni kuzuia mzunguko wa umeme kuendelea na kuharibu components.
9: Simu inaweza kupona baada ya maji – lakini tu kama hukufanya makosa makubwa mwanzoni.

Na mara nyingi, reaction yako ya kwanza ndiyo huamua hatima ya simu.

🛑 Usiiwashe mara moja.
🛑 Usiiweke kwa joto kali.
🛑 Usikae nayo muda mrefu kwenye maji.
1
6: Badala yake, fanya hivi:
– Kausha kwa kitambaa kilicho kavu vizuri
– Uipe muda (masaa 24–48) ikiwa kwenye mazingira yasiyo na unyevu
⚠️ Ukweli: Kuwasha simu yenye unyevu ndani ni sawa na kuwasilisha mialiko kwa umeme kusababisha uharibifu mkubwa.
8: 🎯 Kama simu yako ina IP rating kama IP67/IP68 – ina uwezo wa kuhimili maji kidogo.
Lakini si vizuri kujaribu kwa makusudi.
Na kingine: maji ya bahari yana chumvi – ni hatari zaidi kuliko maji ya kawaida.
7: 🔌 Usiweke kwenye chaji kabla ya kuwa na uhakika imekauka vizuri.
Ni vizuri kuipeleka kwa fundi kama haijawaka baada ya kukauka.

Fundi anaweza kuifungua na kukausha sehemu za ndani kitaalamu.