Teknolojia
132 subscribers
3.76K photos
4.44K videos
93 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Inakuja na lugha za Kichina na English tu

Network bands mara nyingine hazi-support 4G/5G vizuri kwenye baadhi ya mitandao nje ya China

Kuna apps nyingi za China ambazo haziwezi kufutwa.
︎ Teknolojia

📱:

💨 TOFAUTI KATI YA GLOBAL VERSION NA CHINA VERSION YA SIMU.
(Mfano: Xiaomi, OnePlus, n.k)

Kama umewahi kuagiza simu kutoka nje (AliExpress, Amazon n.k) au umeambiwa kuna "China Version" na "Global Version"...

Leo naeleza tofauti kubwa kati ya hizi mbili.

Shuka🧵🧵👇
China Version ni nini?

Simu iliyotengenezwa kwa soko la China

Mara nyingi haina Google Services (Play Store unalazimika kuinstall mwenyewe)
︎ Teknolojia

💨 Bila mwanga Baada ya Mwanga
︎ Teknolojia

💨Redmi Note 14 pro 4G 🔥🔥

Storage: 256GB ROM + 8GB RAM

💥 Price: 700,000 Tsh

📍Geti la KKKT Kariakoo
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Kutengeneza Movie kwa Ai : Filamu kwa kutumia Veo 3 AI
Kutengeneza Movie kwa kutumia Simu na AI ya Google Veo 3.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

Edit picha kali kama hii kwa ChatGPT tu
Je, unajua unaweza kuedit picha yako kuwa ya kuvutia na ya kitaalamu kama hii hapa, kwa kutumia ChatGPT tu bila kutumia Photoshop, Canva au App nyingine ngumu? 😱
@Huduma

💨 OFFER SAMSUNG A SERIES

▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -420K
▪️A16 (6+128) - 450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
▪️A56 5G (8+256) - 1.15M

📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Oppo Reno 14 ndiyo simu yenye muonekano mzuri zaidi duniani.
🆕 Tetesi mpya zinaonyesha simu mpya ya Samsung Galaxy Z Fold 7 itakuwa nyembamba sana – 8.9 mm ukiifunga na 4.2 mm ukiifungua!

Ni nyembamba zaidi, uzito utapungua kidogo, itakuwa na skrini kubwa zaidi na mfumo wa kamera wenye nguvu.
︎ Teknolojia

💨 Redmi 14C 💥

Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇

💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000

📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
︎ Teknolojia

💨 Redmi 14C 💥

Redmi 14C Specifications
▪️ Camera: 50MP
▪️ Storage: 128GB/256GB
▪️ RAM: 4GB
▪️ Battery Capacity: 5000mAh 👇

💥 Price: (4GB + 128GB) 300,000
(8GB + 256GB) 350,000

📍 Likoma, Opposite KKKT Kariakoo
📍 Roundabout ya samaki, Mwanza
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
︎ Teknolojia

💨 Xiaomi Ai glasses inakuja na version 4 za kubadili rangi🔥
Video sijaweka kwenye comment
🆕 Update ya beta ya One UI 8 Watch imeanza kutoka rasmi! 🚀
#OneUI8Watch #Beta
︎ Teknolojia

💨Wakati tukiendelea kusubiri uzinduzi wa GOOGLE PIXEL 10 SERIES.

Hapa nimekusogezea specifications za Google pixel 10.

6.3” FHD+ 120Hz OLED display
- 3000nits peak brightness
- Tensor G5
- 48MP + 12MP Ultra-wide + 10.8MP (5x) Periscope  
- 10.5MP front 
- Fully custom camera ISP
- 4970mAh battery + 29W
- 15W wireless | IP68 rating
- Android 16