Teknolojia
134 subscribers
3.86K photos
5.04K videos
94 files
13.4K links
Hii ni channel yangu mwenyewe ila kama ikikupendeza karibu isipokupendeza kwaheli πŸ‘‹
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Infinix wanahatari mnoo aisee, kupitia toleo lao jipya la NOTE 50 Pro+ 5.5G wamekuja na Features nyingi kali za AI na zote zinarahisisha matumizi ya kila siku ya mtumiaji wa simu hii.
πŸŒ™ 5. Night Mode, HDR, AI – hizi zinabadili mchezo
β€’ HDR huongeza contrast
β€’ AI hubalance mwanga na rangi
β€’ Night Mode huruhusu picha ang’avu bila flash
πŸ“· 4. Pixel Binning: 200MP inakuwa 12MP kwa makusudi!

Simu nyingi hutumia teknolojia ya Pixel Binning – kuchanganya pixels ili kupata mwanga bora.
βœ… 7. Jinsi ya kuchagua simu yenye kamera bora (kwa kweli):

Angalia sensor size (Sony IMX, Samsung GN2...)

Chipset ya simu (Snapdragon 8 Gen 2, n.k.)

Mfano wa matokeo ya kamera (YouTube/Reviews)
🧠 3. Processing chip ina mchango mkubwa
Kamera haina akili β€” chip ya simu ndiyo inafanya kazi ya kusafisha picha.
⚠️ 6. Uchafu wa lenzi, mtikisiko, na autofocus duni = picha mbaya
β€’ Hakikisha lenzi yako safi
β€’ Acha simu ikafocus vizuri kabla ya kupiga
β€’ Tumia mode sahihi (portrait, pro, n.k.)
Kuwa na 200MP siyo vibaya, lakini si kila 200MP ni picha bora. Ubora wa picha unategemea mambo mengi β€” sio namba pekee
πŸ”Ž Hivyo picha bora ni software + sensor + chip β€” si megapixel pekee.
πŸ“± iPhone 12 12MP inaweza kuwapiga bao baadhi ya 108MP phones kwa sababu ya processor nzuri (A14 Bionic, n.k.)
πŸ§ͺ Mfano: 16 pixels zinachanganywa kuwa moja β†’ picha za 12MP zenye ubora zaidi kuliko 200MP raw.
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ JBL SPEAKER (OriginalπŸ’―)

β–ͺ️JBL Go 3 - 145K
β–ͺ️JBL Go 4 - 190K
β–ͺ️JBL Flip6 - 300K
β–ͺ️JBL Flip7 - 380K
β–ͺ️JBL Charger5 - 450K
β–ͺ️JBL Charger6 - 550K
β–ͺ️JBL XTRME3 - 700K
β–ͺ️JBL XTRME4 - 840K
β–ͺ️JBL Boombox X3 Wi-Fi - 1.3M

πŸ“Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
@Huduma

πŸ’¨ OFFER SAMSUNG A SERIES

β–ͺ️A05 (4+64) - 250K
β–ͺ️A06 (4+64) - 300K
β–ͺ️A06 (4+128) - 330K
β–ͺ️A05s (4+128) - 350K
β–ͺ️A16 (4+128) -450K
β–ͺ️A16 (8+256) - 580K
β–ͺ️A26 5G (6+128) - 680K
β–ͺ️A26 5G (8+256) - 780K
β–ͺ️A36 5G (6+128) - 900K
β–ͺ️A36 5G (8+256) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+128) - 1M
β–ͺ️A56 5G (8+256) - 1.15M

πŸ“Dar: KKKT Kariakoo
πŸ“Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

Miyeyusho ya Mr Joel πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ... Shuhudia kilichomkuta Mr Joel kitaani , hii ndo tunaita mgonjwa hataki soda anataka mia 6 yake..
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ SAMSUNG A55 5G

β–ͺ️50MP Camera
β–ͺ️Exynos 1480
β–ͺ️8GB RAM, 256GB ROM
β–ͺ️5000mAh | 25W

β–ͺ️TSH. 1,000,000

πŸ“Dar: KKKT Kariakoo
πŸ“ž 0745100757
wa.me/+255745100757
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ Nani anayeweza kunielewesha vizuri kwanini picha zinakatazwa kupigwa kwenye madaraja na Vivukoni?
γ€½οΈŽ Teknolojia

πŸ’¨ WhatsApp 2025 ipo uchi sana ndio tuiamini End-to-end encryption?

Nimepost Redmi 14C na picha yake lakini anayeangalia Status yangu anaonyeshwa kitu tofauti kabisa.