Teknolojia
133 subscribers
3.82K photos
4.55K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
🆕 Browser mpya ya Opera Neon ina uwezo wa kufanya coding za kutengeneza Website (tovuti) na Games
🆕 Google imefanya mabadiliko ya Search Bar Widget yake kwa watumiaji wa Android

Sasa hivi sehemu hizo zinabadilika kuendana mfumo wa settings za rangi ya simu (Material 3)

Unaweza kupanga shortcuts

Pia Google imeweka mwonekano wa round ya duara nje ya widget ya Search Bar.
🆕 Watumiaji wa iPad sasa wanaweza kupata app ya WhatsApp

Imechukua zaidi ya miaka 15 kwa WhatsApp kuweka app yake kwenye iPad
💨 Arusha haipiti siku kijana zaidi ya mmoja hajafariki kwa kifo cha kusababishwa either ajali au kupigwa.
@Huduma

💨 NOTHING PHONE (Non Active)

▪️CMF Phone1 (8+256) - 850K
▪️Phone2a (8+256) - 1.2m
▪️Phone2a Plus (12+256) - 1.35m
▪️Phone 2 (12+256) - 1.58m
▪️Phone 2 (12+512) - 1.75m
▪️Phone 3a (12+256) - 1.25M
▪️Phone 3a Pro (12+256) - 1.45M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Umewahi jiuliza jinsi touch screen inavyojua unagusa wapi? 🤔 Leo tunavunja fumbo hilo kwa njia rahisi ya kisayansi! 📱
Simu inaweza kuwa na FHD lakini 120Hz – ina scroll vizuri lakini sio sharp kama QHD.
Mwisho: Check Resolution Kabla ya Kununua Simu!
Usiridhike tu na “inapendeza”. Nenda Settings > Display > Resolution ujue unatumia nini.

Ukiwa mfuatiliaji wa tech, hii ni knowledge muhimu unapaswa kuwa nayo.
Refresh Rate ≠ Resolution

Watu huchanganya haya mawili.

Resolution: Sharpness ya picha

Refresh rate: Smoothness ya harakati (e.g. 60Hz, 90Hz, 120Hz)
Je, macho yako yanaweza kuona tofauti?
Ndiyo — lakini inategemea size ya screen.

Kwenye 6.7" QHD phone, utaona tofauti ya sharpness vs FHD.

Lakini kwa 5.5", tofauti ni ndogo sana.

➡️ Pointi ni: usilipe zaidi kwa kitu usichohitaji.
Bajeti ndogo au screen ndogo (inches ≤ 6.0) → HD bado inatosha.
Ni ipi inakufaa?

Kama unatumia simu kwa:

Social Media, WhatsApp, browsing → FHD inakutosha kabisa.
︎ Teknolojia

💨 USED DUBAI (Original Display)👇

▪️Pixel 6 (8+128) - 450K
▪️Pixel 7 (8+128) - 630K
▪️Pixel 7a (8+128) - 630K
▪️Pixel 7 Pro (12+128) - 850K
▪️Pixel 7 Pro (12+256) - 950K CPO
▪️Pixel 8 Pro (12+128) - 1.15M

PIXEL MPYA (Non Active)💥
▪️Pixel 9a (8+128) - 1.45M
▪️Pixel 9a (8+256) - 1.7M
▪️Pixel 9 (12+128) - 1.75M
▪️Pixel 9 (12+256) - 2.15M
▪️Pixel 9 Pro (16+128) - 2.4M
▪️Pixel 9 Pro (16+256) - 2.8M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+128) - 2.5M
▪️Pixel 9 Pro XL (16+256) - 2.8M

📍Opposite na KKKT Kariakoo | Deliv
Video editing, gaming, viewing content kwa macho makali → QHD itakuvutia.
︎ Teknolojia

💨Jamaa kapost picha ya mama ake wakiwa dinner
Shida sio dinner ni hilo tambo Vivo X200 Ultra🔥🔥.
@Huduma

💨 XIAOMI REDMI (Brand new) 💥

▪️Redmi A5 (3+64) - 250K
▪️Redmi A5 (4+128) - 280K
▪️Redmi 14C (4+128) - 300K
▪️Redmi 14C (8+256) - 350K
▪️Note 13 (6+128) - 450K
▪️Note 13 (8+256) - 530K
▪️Note 13 Pro 4G (8+256) - 680K
▪️Note 13 Pro+ 5G (8+256) - Tsh. 880K
▪️Note 13 Pro+ 5G (12+512) - Tsh. 1.05M
▪️Redmi Note 14 (6+128) - 480K
▪️Redmi Note 14 (8+256) - 580K
▪️Redmi Note 14 5G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 4G (8+256) - 700K
▪️Redmi Note 14 Pro 5G (8+256) - 800K
▪️Redmi Note 14 Pro+ 5G (8+256)
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Tuwe na utaratibu wa kuuliza jamani 😂😂🙌🙌