〽︎ Teknolojia
𝗦𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮 𝗟𝗚 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗺𝘄𝗮 𝗝𝘂𝗻𝗲 𝟯𝟬
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021,
Threads ni Yako 🚀
𝗦𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮 𝗟𝗚 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗺𝘄𝗮 𝗝𝘂𝗻𝗲 𝟯𝟬
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021,
Threads ni Yako 🚀
〽︎ Teknolojia
💡 Baada ya Tarehe 30 June 2025 mtu Yeyote Hataweza Tena kuidownload na ku install Android update, huduma zote zile za software upgrade service pamoja na service centre upgrade zitazimwa.
LG watabaki kwenye uzalishaji wa Vifaa vya kieletroniki kama vile Tv, Saa,, friji nk.
💡 Baada ya Tarehe 30 June 2025 mtu Yeyote Hataweza Tena kuidownload na ku install Android update, huduma zote zile za software upgrade service pamoja na service centre upgrade zitazimwa.
LG watabaki kwenye uzalishaji wa Vifaa vya kieletroniki kama vile Tv, Saa,, friji nk.
〽︎ Teknolojia
💡 Kampuni hiyo Hatimaye inajianda kuzima Seva yao inayotumika kutoa android update mbalimbali kwa simu za Smartphone.
💡 Kampuni hiyo Hatimaye inajianda kuzima Seva yao inayotumika kutoa android update mbalimbali kwa simu za Smartphone.
〽︎ Teknolojia
𝐈𝐭𝐚𝐤𝐚𝐩𝐨 𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟑𝟎 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐡𝐮𝐮 𝟐𝟎𝟐𝟓 𝐇𝐮𝐭𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐚𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐚𝐩𝐲𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐬𝐡𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐧𝐝𝐫𝐨𝐢𝐝.
𝐈𝐭𝐚𝐤𝐚𝐩𝐨 𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟑𝟎 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐡𝐮𝐮 𝟐𝟎𝟐𝟓 𝐇𝐮𝐭𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐚𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐚𝐩𝐲𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐬𝐡𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐧𝐝𝐫𝐨𝐢𝐝.
〽︎ Teknolojia
💨 OFFER SAMSUNG A SERIES
▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
💨 OFFER SAMSUNG A SERIES
▪️A05 (4+64) - 250K
▪️A06 (4+64) - 300K
▪️A06 (4+128) - 330K
▪️A05s (4+128) - 350K
▪️A16 (4+128) -450K
▪️A16 (8+256) - 580K
▪️A26 5G (6+128) - 680K
▪️A26 5G (8+256) - 780K
▪️A36 5G (6+128) - 900K
▪️A36 5G (8+256) - 1M
▪️A56 5G (8+128) - 1M
📍Dar: KKKT Kariakoo
📍Mwanza: Roundabout ya Samaki
@Njiwa_Store
📞 0745100757
wa.me/+255745100757
〽︎ Teknolojia
iQOO Neo 10 zimeingizwa kwenye soko la China leo na zitaanza kuuzwa kwenye soko rasmi 26 may
iQOO Neo 10 zimeingizwa kwenye soko la China leo na zitaanza kuuzwa kwenye soko rasmi 26 may
〽︎ Teknolojia
Ebu Fanya kwanza kutu follow kwa kuendelea kujifunza mambo Mengi kuhusu Teknolojia kwa lugha ya kiswahili 💡
@Bongotech255
Repost
Like
Follow ✅
Ebu Fanya kwanza kutu follow kwa kuendelea kujifunza mambo Mengi kuhusu Teknolojia kwa lugha ya kiswahili 💡
@Bongotech255
Repost
Like
Follow ✅
〽︎ Teknolojia
💡 Pia itaweza kuwapa watu nguvu mpaka kufikia mwaka 2050 binadamu atakua na uwezo wa kuchagua umri wake wa kuishi Duniani na
kuamua kufa kwa hiari bila kulazimishwa au kutokupenda kupitia Teknolojia ya "𝐥𝐨𝐧𝐠𝐞𝐯𝐢𝐭𝐲 𝐞𝐬𝐜𝐚𝐩𝐞 𝐯𝐞𝐥𝐨𝐜𝐢𝐭𝐲".
💡 Pia itaweza kuwapa watu nguvu mpaka kufikia mwaka 2050 binadamu atakua na uwezo wa kuchagua umri wake wa kuishi Duniani na
kuamua kufa kwa hiari bila kulazimishwa au kutokupenda kupitia Teknolojia ya "𝐥𝐨𝐧𝐠𝐞𝐯𝐢𝐭𝐲 𝐞𝐬𝐜𝐚𝐩𝐞 𝐯𝐞𝐥𝐨𝐜𝐢𝐭𝐲".
〽︎ Teknolojia
💡 Wanaharakati wa maisha ya baadaye kama vile Dokta Ian Pearson na Ray Kurzweil wanatazamia siku zijazo ufahamu wa binadamu unaweza kuwekwa kwenye mifumo ya kidigitali, kuruhusu watu kuwepo zaidi ya miili yao ya kibailogia.
💡 Wanaharakati wa maisha ya baadaye kama vile Dokta Ian Pearson na Ray Kurzweil wanatazamia siku zijazo ufahamu wa binadamu unaweza kuwekwa kwenye mifumo ya kidigitali, kuruhusu watu kuwepo zaidi ya miili yao ya kibailogia.
〽︎ Teknolojia
Wana sayansi wanasema kuwa kufikia mwaka 2050 watu watakua na uwezo wa kuishi kwa muda mrefu usiojulikana inaweza kubadilika kutoka hadithi za Masimulizi kuwa maisha halisi.
Unasemaje kuhusu hali hii kutoka kwa wanasayansi??
Wana sayansi wanasema kuwa kufikia mwaka 2050 watu watakua na uwezo wa kuishi kwa muda mrefu usiojulikana inaweza kubadilika kutoka hadithi za Masimulizi kuwa maisha halisi.
Unasemaje kuhusu hali hii kutoka kwa wanasayansi??
〽︎ Teknolojia
💡 Wazo hili hujulikana kama "𝐝𝐢𝐠𝐢𝐭𝐚𝐥 𝐢𝐦𝐦𝐨𝐫𝐭𝐚𝐥𝐢𝐭𝐲" kutokufa kwa kidigitali, ambapo miaka ijayo kupitia nano teknolojia itatuwezesha Wanadamu kuweza kuzuia kuzeeka na.....
💡 Wazo hili hujulikana kama "𝐝𝐢𝐠𝐢𝐭𝐚𝐥 𝐢𝐦𝐦𝐨𝐫𝐭𝐚𝐥𝐢𝐭𝐲" kutokufa kwa kidigitali, ambapo miaka ijayo kupitia nano teknolojia itatuwezesha Wanadamu kuweza kuzuia kuzeeka na.....
〽︎ Teknolojia
💡 Mpaka kufikia mwaka 2050 wataalamu wanasema wataweza kufanikiwa kwenye teknolojia inaitwa bio teknoloji, akili. Bandia (AI) na nano medicine yatakayopelekea kifo kuwa Hiari.
💡 Mpaka kufikia mwaka 2050 wataalamu wanasema wataweza kufanikiwa kwenye teknolojia inaitwa bio teknoloji, akili. Bandia (AI) na nano medicine yatakayopelekea kifo kuwa Hiari.
〽︎ Teknolojia
Bado maswali yamekua Mengi kwenye upande wa maadili na kiimani kwa kuzuia utata kwani Wengi tunaamini Allah (Mungu) ndo muweza wa kila jambo kwenye hii Dunia lakini..... 👉🏾
Bado maswali yamekua Mengi kwenye upande wa maadili na kiimani kwa kuzuia utata kwani Wengi tunaamini Allah (Mungu) ndo muweza wa kila jambo kwenye hii Dunia lakini..... 👉🏾
〽︎ Teknolojia
Kuweza kudumisha miili Yetu kwa kiwango cha seli, kusimamisha au kurudisha nyuma mchakato wa kuzeeka kwa binadamu.
Kuweza kudumisha miili Yetu kwa kiwango cha seli, kusimamisha au kurudisha nyuma mchakato wa kuzeeka kwa binadamu.
〽︎ Teknolojia
𝗪𝗮𝘁𝗮𝗳𝗶𝘁𝗶 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 𝘂𝗸𝗶𝗳𝗶𝗸𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟱𝟬 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝘄𝗮𝘁𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝘄𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗲𝗽𝘂𝗸𝗮 na 𝗸𝗶𝗳𝗼
🌍 Aiseeeh Dunia bhana 😉, Jamani sio mimi ni watafiti hao walichokisema ni chakushangaza kabisa 🚒....!!!!!
Threads ni Yako 💡
𝗪𝗮𝘁𝗮𝗳𝗶𝘁𝗶 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 𝘂𝗸𝗶𝗳𝗶𝗸𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟱𝟬 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝘄𝗮𝘁𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝘄𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗲𝗽𝘂𝗸𝗮 na 𝗸𝗶𝗳𝗼
🌍 Aiseeeh Dunia bhana 😉, Jamani sio mimi ni watafiti hao walichokisema ni chakushangaza kabisa 🚒....!!!!!
Threads ni Yako 💡
〽︎ Teknolojia
💡 Teknolojia ya AI itaweza kushika Kasi na kufanya mabadiliko kutoka kutengeneza iphone na kuleta kitu kipya kwenye ulimwengu huu wa Teknolojia.
Wengi wanaamini kuwa smart Glasses 🕶️ ndo itaweza kuchukua nafasi badala ya kutumia simu kushika mkononi watu watakua wanavaa miwani.
💡 Teknolojia ya AI itaweza kushika Kasi na kufanya mabadiliko kutoka kutengeneza iphone na kuleta kitu kipya kwenye ulimwengu huu wa Teknolojia.
Wengi wanaamini kuwa smart Glasses 🕶️ ndo itaweza kuchukua nafasi badala ya kutumia simu kushika mkononi watu watakua wanavaa miwani.