〽︎ Teknolojia
Bei ya Samsung Galaxy Ring inatofautiana kulingana na soko na eneo.
Kwa mfano, nchini Marekani, bei rasmi ilikuwa $399.
Hata hivyo, katika soko la Tanzania, bei inaweza kuwa tofauti kutokana na kodi, gharama za usafirishaji, na sababu nyingine za kibiashara.
Bei ya Samsung Galaxy Ring inatofautiana kulingana na soko na eneo.
Kwa mfano, nchini Marekani, bei rasmi ilikuwa $399.
Hata hivyo, katika soko la Tanzania, bei inaweza kuwa tofauti kutokana na kodi, gharama za usafirishaji, na sababu nyingine za kibiashara.
〽︎ Teknolojia
Battery Life na Sensors
Hii pete inakuja na battery yenye uwezo wa kati ya 18mAh hadi 23.5mAh
Inaweza kudumu hadi 7 days kwa full charge! Na ukitaka kuichaji, inakuchukua kama dakika 80 tu kutumia charging case yake. 🚀🔋
Battery Life na Sensors
Hii pete inakuja na battery yenye uwezo wa kati ya 18mAh hadi 23.5mAh
Inaweza kudumu hadi 7 days kwa full charge! Na ukitaka kuichaji, inakuchukua kama dakika 80 tu kutumia charging case yake. 🚀🔋
〽︎ Teknolojia
Imesheheni sensors kibao kama vile:
Accelerometer 📊
Optical Heart Rate Monitor (PPG) ❤️
Skin Temperature Sensors 🌡️
Inatumia Bluetooth 5.4 na inafanya kazi na simu zote za Android kuanzia Android 11 na kuendelea.
Imesheheni sensors kibao kama vile:
Accelerometer 📊
Optical Heart Rate Monitor (PPG) ❤️
Skin Temperature Sensors 🌡️
Inatumia Bluetooth 5.4 na inafanya kazi na simu zote za Android kuanzia Android 11 na kuendelea.
〽︎ Teknolojia
Miongoni mwa faida za Samsung Galaxy ring:
🔹Kuvaa rahisi na haikupi usumbufu.
🔹Inadumu muda mrefu kwa chaji moja.
🔹Muundo mzuri na thabiti wa Titanium.
Miongoni mwa faida za Samsung Galaxy ring:
🔹Kuvaa rahisi na haikupi usumbufu.
🔹Inadumu muda mrefu kwa chaji moja.
🔹Muundo mzuri na thabiti wa Titanium.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
💨Ushuhuda ujao ataanza kuona duka la njiwa @Njiwa_Store na tambo la S25 ultra wote tuseme Amina napokea😁
💨Ushuhuda ujao ataanza kuona duka la njiwa @Njiwa_Store na tambo la S25 ultra wote tuseme Amina napokea😁
@Huduma
💨AMAZON WAPANGA KUINUNUA TIKTOK
Kwendana na fukuto lililopo kati ya Trump na TikTok kutaka iuzwe au ifungiwe.
Tajiri Jeff Bezons wamepeleka offer ya kuinunua TikTok.
Haya yote yanaendelea huku Trump akiendelea na dhumuni lake la kuifungia TikTok nchini Marekani.
💨AMAZON WAPANGA KUINUNUA TIKTOK
Kwendana na fukuto lililopo kati ya Trump na TikTok kutaka iuzwe au ifungiwe.
Tajiri Jeff Bezons wamepeleka offer ya kuinunua TikTok.
Haya yote yanaendelea huku Trump akiendelea na dhumuni lake la kuifungia TikTok nchini Marekani.
〽︎ Teknolojia
Sirin Labs Solarin inabaki kuwa moja ya simu zilizotengeneza historia kwa jaribio lake la kuleta usalama wa hali ya juu kwenye mawasiliano ya simu.
Hata hivyo, masuala ya kimaadili na kiusalama yaliifanya kuwa hatari, hivyo ikabidi ichukuliwe hatua kali za kuizuia.
Sirin Labs Solarin inabaki kuwa moja ya simu zilizotengeneza historia kwa jaribio lake la kuleta usalama wa hali ya juu kwenye mawasiliano ya simu.
Hata hivyo, masuala ya kimaadili na kiusalama yaliifanya kuwa hatari, hivyo ikabidi ichukuliwe hatua kali za kuizuia.
〽︎ Teknolojia
Lengo kuu lilikuwa kuzuia udukuzi na kufichua taarifa nyeti za mtumiaji kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu ya encryption.
Simu hii iliuzwa kwa bei ya juu sana—karibu dola 14,000
Lengo kuu lilikuwa kuzuia udukuzi na kufichua taarifa nyeti za mtumiaji kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu ya encryption.
Simu hii iliuzwa kwa bei ya juu sana—karibu dola 14,000
〽︎ Teknolojia
Sababu za Kuondolewa Sokoni
Pamoja na juhudi zote za Sirin Labs kutengeneza simu salama zaidi, Solarin haikupata umaarufu uliokusudiwa. Kwanza, bei yake ya juu iliwafanya wengi kuiona kama bidhaa ya kifahari badala ya zana ya lazima ya usalama.
Sababu za Kuondolewa Sokoni
Pamoja na juhudi zote za Sirin Labs kutengeneza simu salama zaidi, Solarin haikupata umaarufu uliokusudiwa. Kwanza, bei yake ya juu iliwafanya wengi kuiona kama bidhaa ya kifahari badala ya zana ya lazima ya usalama.
〽︎ Teknolojia
Kwa sababu ya hatari ya teknolojia hii kuwa mikononi mwa watu wasiofaa, baadhi ya nchi ziliamua kuipiga marufuku au kuiweka chini ya uangalizi maalum.
Hili lilisababisha kushuka kwa mauzo na hatimaye Sirin Labs kuacha kutengeneza Solarin.
Kwa sababu ya hatari ya teknolojia hii kuwa mikononi mwa watu wasiofaa, baadhi ya nchi ziliamua kuipiga marufuku au kuiweka chini ya uangalizi maalum.
Hili lilisababisha kushuka kwa mauzo na hatimaye Sirin Labs kuacha kutengeneza Solarin.
〽︎ Teknolojia
simu ilihama moja kwa moja kutoka hali ya kawaida kwenda kwenye hali ya ulinzi mkali wa mawasiliano.
simu ilihama moja kwa moja kutoka hali ya kawaida kwenda kwenye hali ya ulinzi mkali wa mawasiliano.
〽︎ Teknolojia
Baadhi ya wataalamu wa usalama waliona uzinduzi wa Solarin kama hatua kubwa mbele katika usalama wa mawasiliano, lakini pia kama kengele ya hatari kwa sababu teknolojia ya encryption inaweza kutumika kinyume na malengo yaliyokusudiwa.
Baadhi ya wataalamu wa usalama waliona uzinduzi wa Solarin kama hatua kubwa mbele katika usalama wa mawasiliano, lakini pia kama kengele ya hatari kwa sababu teknolojia ya encryption inaweza kutumika kinyume na malengo yaliyokusudiwa.
@Huduma
💨SIMU YENYE SCREEN MBILI NYUMA NA MBELE
Ulefone imetangaza simu yake mpya ya Armor 30 Pro kama simu ya kwanza duniani yenye skrini mbili yenye uwezo wa kustahimili mazingira magumu (rugged phone).
Inakuja na skrini kamili ya LCD yenye ukubwa wa inchi 3.4 upande wa nyuma ambayo inaonesha kile kinachoonekana kwenye skrini kuu na pia hutumika kama display ya kamera kwa ajili ya kurekodi video, kupiga selfies, na kufanya live streaming kwenye mitandao ya kijamii.
💨SIMU YENYE SCREEN MBILI NYUMA NA MBELE
Ulefone imetangaza simu yake mpya ya Armor 30 Pro kama simu ya kwanza duniani yenye skrini mbili yenye uwezo wa kustahimili mazingira magumu (rugged phone).
Inakuja na skrini kamili ya LCD yenye ukubwa wa inchi 3.4 upande wa nyuma ambayo inaonesha kile kinachoonekana kwenye skrini kuu na pia hutumika kama display ya kamera kwa ajili ya kurekodi video, kupiga selfies, na kufanya live streaming kwenye mitandao ya kijamii.
〽︎ Teknolojia
𝗔𝗜 𝗞𝗪𝗘𝗟𝗜 𝗧𝗜𝗦𝗛𝗜𝗢 𝗨𝗟𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗚𝗨𝗡𝗜 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗚𝗘𝗨𝗭𝗔 𝗪𝗜𝗙𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗘𝗥𝗔 😉
Hakika Dunia inakoelekea sio poa Tutaweza kuona Mengi ulimwenguni??
Umeshawahi kufikiria kuhusu Wifi kuwa Kamera nyumbani au ofisini?
Threads ni Yako ✍🏾
𝗔𝗜 𝗞𝗪𝗘𝗟𝗜 𝗧𝗜𝗦𝗛𝗜𝗢 𝗨𝗟𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗚𝗨𝗡𝗜 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗚𝗘𝗨𝗭𝗔 𝗪𝗜𝗙𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗘𝗥𝗔 😉
Hakika Dunia inakoelekea sio poa Tutaweza kuona Mengi ulimwenguni??
Umeshawahi kufikiria kuhusu Wifi kuwa Kamera nyumbani au ofisini?
Threads ni Yako ✍🏾
〽︎ Teknolojia
Teknolojia hiyo inakupa uwezo wa kufuatilia mwenendo na harakati za binadamu bila ulazima wa Uwepo wa Kamera;
📡 Inafanyaje kazi sasa:
🔅 Hutumia mawimbi ya wifi (wifi signal) kuweka mzunguko wa Ramani na kufuatilia mwenendo wa binadamu.
Angalia video yake chini 👇🏾👇🏾
Teknolojia hiyo inakupa uwezo wa kufuatilia mwenendo na harakati za binadamu bila ulazima wa Uwepo wa Kamera;
📡 Inafanyaje kazi sasa:
🔅 Hutumia mawimbi ya wifi (wifi signal) kuweka mzunguko wa Ramani na kufuatilia mwenendo wa binadamu.
Angalia video yake chini 👇🏾👇🏾
〽︎ Teknolojia
✅ Kwanini teknolojia hii itakua Tishio:
✔ iko private sana kuliko Kamera (hakuna rekodi za kuona).
✔ Nafuu kuliko mifumo ya kawaida ya ufuatiliaji.
✔ Uwezo wa kuwa na nyumba mahiri, usalama na afya.
✅ Kwanini teknolojia hii itakua Tishio:
✔ iko private sana kuliko Kamera (hakuna rekodi za kuona).
✔ Nafuu kuliko mifumo ya kawaida ya ufuatiliaji.
✔ Uwezo wa kuwa na nyumba mahiri, usalama na afya.