Teknolojia
132 subscribers
3.83K photos
4.59K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

• inakuja na AI feature Inakusaidia kutoa picha zenye muonekano bomba.

• Ina creative clouds ambazo unaweza share picha ulizo editing kwenye simu unaweza hamishia kwenye PC faster.

• Ina RAW filter ukiediti unaweza sema ume editi kama ilivyo PC.
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

• inakuja na AI feature Inakusaidia kutoa picha zenye muonekano bomba.

• Ina creative clouds ambazo unaweza share picha ulizo editing kwenye simu unaweza hamishia kwenye PC faster.

• Ina RAW filter ukiediti unaweza sema ume editi kama ilivyo PC.
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

4️⃣ Adobe Express Mobile
Hii ni app nzuri kama ilivyo Canva ila kwa hii ni balaa maana Inakusaidia kuediti picha zako kwa ajili ya mitandao ya kijamii na biashara kwa ujumla kuanzia Picha na videos,
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

2️⃣ Adobe Photoshop Express
Nani asiyejua matumizi ya adobe jinsi ilivyokuwa maarufu kutokana na uwezo wake wa ku design mambo mbalimbali kupitia kompyuta,

sasa adobe Photoshop express inakupa uwezo wa editing tools kupitia images, videos, filtering and stitching videos.
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

𝗔𝗽𝗽𝘀 𝟰 𝗕𝗼𝗿𝗮 𝘇𝗮 𝗮𝗱𝗼𝗯𝗲 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗡𝗮𝘇𝗼 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼

Kama unahitaji app Bora kwa ajili ya simu yako basi Leo nakuletea program Bora za Adobe ambazo ni muhimu kuwa Nazo kwenye simu yako.

Threads ni yako 🚀
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Bila kusahau uwezo wa kutengeneza Qrcode, logo, pamoja na post mbalimbali za mitandao ya kijamii kuanzia kwenye smooth skin, Editing, Denoise nk.
︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

1️⃣ Adobe Acrobat Reader
Ni program Bora kabisa ya kuweza kufungua documents mbalimbali kupitia simu yako kwa urahisi,

ikiwa na Teknolojia ya AI Yenye uwezo wa kukusaidia kufanya kazi zako mbalimbali kwa ku summarize ujumbe mrefu kuwa mfupi kwa Kila documents yako.
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

4️⃣ Adobe Express Mobile
Hii ni app nzuri kama ilivyo Canva ila kwa hii ni balaa maana Inakusaidia kuediti picha zako kwa ajili ya mitandao ya kijamii na biashara kwa ujumla kuanzia Picha na videos,
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

2️⃣ Adobe Photoshop Express
Nani asiyejua matumizi ya adobe jinsi ilivyokuwa maarufu kutokana na uwezo wake wa ku design mambo mbalimbali kupitia kompyuta,

sasa adobe Photoshop express inakupa uwezo wa editing tools kupitia images, videos, filtering and stitching videos.
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

utaweza kuediti kwa urahisi sana bila kusahau ni Rahisi ku download kazi zako ulizozitengeneza kupitia simu yako.

Usisahau kutu follow kwa maujanja zaidi
@Bongotech255
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

𝗔𝗽𝗽𝘀 𝟰 𝗕𝗼𝗿𝗮 𝘇𝗮 𝗮𝗱𝗼𝗯𝗲 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗡𝗮𝘇𝗼 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼

Kama unahitaji app Bora kwa ajili ya simu yako basi Leo nakuletea program Bora za Adobe ambazo ni muhimu kuwa Nazo kwenye simu yako.

Threads ni yako 🚀
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Ulimwenguni mwaka 2024 Kulikua na jumla ya wanaanga 47 ambao active wanaofanya kazi kati yao wanaume ni 27 na Wanawake 20 ila toka miaka ya nyuma mpaka Leo tuna jumla zaidi ya wanaanga 2000 ulimwenguni.
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Kwa sasa ana umri wa miaka 15 ni mwanafunzi wa Florida Air Academy ambapo wanapata nafasi ya kusoma masomo ya marubani na safari za kwenda kwenye Sayari mbalimbali.
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Lakini Tanzania kiuwalisia hatuna wanaanga wowote walishawahi au wanaotaka kupanga safari kuhusu masuala ya Anga ✍️.

Je tunakwama wapi ? 🏃‍♂️
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Nchi za Afrika Ni Mwanaanga mmoja tu Mwanamke aliyeweza kuingia kwenye safari za kuingia Angani anaitwa Sada Sabry mwenye umri wa miaka 30 kutoka Egypt (Misri).
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Kuna mtoto mmoja toka Tanzania ambaye Yuko Nasa anajifunza masuala ya Anga anaitwa Gideon Gidori anatamani kuwa Mwanaanga siku moja na kutaka kupanga safari za kwenda kwenye Sayari zingine.
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

Tanzania hatuna mwanaanga hata mmoja ambao wanajihusisha na safari za kwenye Sayari na wanaotambuliwa na Shirika la Anga la Kimataifa ya masuala ya Anga (NASA).
🧑‍💻 ︎ Teknolojia

bongotech2⁵5🎮🛜

𝗝𝗲 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝗮𝗻𝗴𝗮 ?

Umeshawahi kujiuliza Tanzania tuna Wanaanga wowote waliowahi kufika Mwezini au safari yoyote ya Anga ?

Leo nitakujuza!!!
Threads ni yako
Repost
Like
Follow 🚀