Teknolojia
133 subscribers
3.83K photos
4.62K videos
94 files
13.3K links
Karibu Katika Taarifa na huduma za kiteknolojia.
Download Telegram
Achaβœ‹ Kutumia VPN❌ gusa link moja katika hizoπŸ‘‡, kisha fuataπŸ‘£ maelekezo machache tu hapo chiniπŸ‘‡πŸ‘€

1. https://t.me/ProxyMTProto

2. https://t.me/TelMTProto

3. https://t.me/mtpro_xyz


unaweza kujiunga au uka contact poroxy tu na ukaacha kujiunga na channels hizo yote sawa tu
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
γ€½οΈŽ Teknolojia

This EV has a LOT of Tech
Li Auto Mega is not sold in the US, but... what if it was?
πŸ†• Tigo sasa imebadilishwa jina na kuwa Yas, hatua mpya kutoka AXIAN Telecom kuleta mshikamano wa chapa moja kwenye bara la Afrika.

Mitandao ya simu ya Telma, tiGo, free na Togocom sasa inakuwa ni brand moja inayotumia jina moja la 'Yas'.
πŸ”₯1
Google imeanzisha kipengele kipya cha 'Page Annotations' kwenye iOS kinachoweka links kwenye taarifa za maelezo ya Google Search.

Wamiliki wa tovuti wanaweza kujiondoa, lakini mchakato huo unaweza kuchukua hadi siku 30.
Tittle za kazi ambazo wanapewa wakati wa kuomba kazi ni "Call Center Agents"

Pia mikataba yao imekuwa ikificha mambo mengi na kutokuwa na uhalisia.
Asilimia kubwa ya watu ambao wanafanya kazi hizo wanalalamika kulipwa kidogo.

Wanapewa video na picha zenye maudhui ya ajabu ili kufundisha AI kutambua taarifa mbalimbali kwenye picha na video.

Mfano kupewa picha za kutisha, matusi, picha zisizo na maadili n.k.
Kampuni nyingine ya Kenya ambayo nayo imepewa malalamiko kama haya ni Scale AI ya Kenya

Ambayo nayo pia inawapa watu kazi za kuhakiki picha na video kwa matumizi ya kufundishia AI

Inasimamia website ya Remotask
πŸ†• Habari mpya za Samsung Galaxy S25 Ultra zimevuja!

πŸ“± Picha mpya zinaonyesha muonekano wa S-Pen na mfumo mpya wa One UI 7
Remotask inawapa Wakenya kazi kupitia mtandaoni, kazi za kufundishia AI kwa kujibu maswali, kutambua vitu kwenye picha na kurekebisha makosa ya AI

Imekuwa ikilalamikiwa kwa kufunga akaunti za watu muda mchache kabla ya payday kufika hivyo inakuwa kama imekimbia na pesa za watu