🆕 Mwonekano wa simu mpya ya Oppo Find X8 Pro https://twitter.com/Swahili_Tek/status/1846505086664557029#m
👍1
🆕 Prada na Axiom Space wamezindua mavazi mapya ya anga kwa misheni ya NASA ya Artemis 3, yakionyesha ushirikiano wa kipekee kati ya teknolojia na mitindo ya kifahari.
🚀 Mavazi haya yatatumika katika safari ya kwenda kwenye Mwezi 🌘 mwaka 2026.
🚀 Mavazi haya yatatumika katika safari ya kwenda kwenye Mwezi 🌘 mwaka 2026.
🆕 Ferrari imezindua gari jipya la F80, likiwa na bei ya Dola Milioni 3.9 (Bilioni 10.6 TZS). Gari hii yenye injini ya kisasa V6 turbocharged na mota tatu za umeme, inafikia spidi ya 350km/h.
Magari 799 yameuzwa, na wateja watapata deliveries zao mwishoni mwa 2025.
Magari 799 yameuzwa, na wateja watapata deliveries zao mwishoni mwa 2025.