Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
10 things you didn't know you could make with a laser engraving machine, WAINLUX K8
how to make cool DIY laser engraver/
10 things you didn't know you could make with a laser engraving machine, WAINLUX K8
how to make cool DIY laser engraver/
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
How To Use Dunder Methods In Python Tutorial (Magic Methods)
In this video I will be teaching you all the essentials you
How To Use Dunder Methods In Python Tutorial (Magic Methods)
In this video I will be teaching you all the essentials you
Google Podcasts Kufungwa Kabisa Aprili 2024!
https://teknolojia.co.tz/google-podcasts-kufungwa-kabisa-aprili-2024/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=google-podcasts-kufungwa-kabisa-aprili-2024
https://teknolojia.co.tz/google-podcasts-kufungwa-kabisa-aprili-2024/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=google-podcasts-kufungwa-kabisa-aprili-2024
TeknoKona Teknolojia Tanzania
Google Podcasts Kufungwa Kabisa Aprili 2024!
Mwezi septemba mwaka huu Google itangaza kwamba itafunga huduma yake ya Google Podcast moja kwa moja lakini haikutangaza ni lini itafanya jambo hilo. Google
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Jifunze coding kutokea ziro -Lugha C | 4 |
Jifunze coding kutokea ziro -Lugha C | 4 |
Link ya online IDE Github:
Link
Jifunze coding kutokea ziro -Lugha C | 4 |
Jifunze coding kutokea ziro -Lugha C | 4 |
Link ya online IDE Github:
Link
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Happy birthday 🎂 to CEO of Tehama Online..Mr Emmanuel Gikaro #trendingvideos #fyppppppppppppppppppppppp #trendings #tehamaonline #tehama #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya #tiktokzanzbar
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
Tumia Namba mbili ndani ya WhatsApp moja. WhatsApp tricks ❤️
katika video hii utajifunza jinsi ya kutumia namba mbili ndani ya WhatsApp moja.
WhatsApp tricks.
Tumia Namba mbili ndani ya WhatsApp moja. WhatsApp tricks ❤️
katika video hii utajifunza jinsi ya kutumia namba mbili ndani ya WhatsApp moja.
WhatsApp tricks.
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
〽︎ Teknolojia
AMAZING CONCEPTS THAT YOU SHOULD SEE
Mind Warehouse ►
1) DEEP Sentinel System
2) SPACE URCHIN
3) Xpeng AeroHT
AMAZING CONCEPTS THAT YOU SHOULD SEE
Mind Warehouse ►
1) DEEP Sentinel System
2) SPACE URCHIN
3) Xpeng AeroHT
🇰🇪 Rais William Ruto ametangaza kuwa kampuni ya Meta, imekubali kuweka mfumo wa mapato kwenye maudhui ya nchini Kenya baada ya mazungumzo yenye mafanikio kati ya Kenya na Meta.
Akizungumza Jumanne wakati wa sherehe za Siku ya Jamhuri katika Bustani za Uhuru jijini Nairobi, Ruto alisema amezungumza na Meta na kampuni hiyo imekubali kuwaruhusu waundaji wa maudhui kupata mapato kutokana na maudhui yao; kupitia Instagram na Facebook.
🆕 Rais Ruto alisema watengenezaji wa maudhui sasa wataweza kupata riziki kwa kutoa maudhui kwenye Facebook na Instagram. Meta imeshaanza majaribio kwa baadhi ya watengenezaji wa maudhui wa Kenya wenye vigezo.
Ili kupata malipo kupitia maudhui, waundaji wa maudhui watapaswa kutimiza vigezo vifuatavyo:
🔘 Lazima uwe na umri wa miaka 18 na kuendelea.
🔘 Lazima uwe na followers 5,000 kwenye wasifu wako wa kibinafsi wa Facebook au wafuasi 10,000 kwenye ukurasa wa Facebook.
🔘 Kwenye maudhui yako ya video kwenye wasifu wako wa Facebook, uwe na jumla ya angal...
View original post
Akizungumza Jumanne wakati wa sherehe za Siku ya Jamhuri katika Bustani za Uhuru jijini Nairobi, Ruto alisema amezungumza na Meta na kampuni hiyo imekubali kuwaruhusu waundaji wa maudhui kupata mapato kutokana na maudhui yao; kupitia Instagram na Facebook.
🆕 Rais Ruto alisema watengenezaji wa maudhui sasa wataweza kupata riziki kwa kutoa maudhui kwenye Facebook na Instagram. Meta imeshaanza majaribio kwa baadhi ya watengenezaji wa maudhui wa Kenya wenye vigezo.
Ili kupata malipo kupitia maudhui, waundaji wa maudhui watapaswa kutimiza vigezo vifuatavyo:
🔘 Lazima uwe na umri wa miaka 18 na kuendelea.
🔘 Lazima uwe na followers 5,000 kwenye wasifu wako wa kibinafsi wa Facebook au wafuasi 10,000 kwenye ukurasa wa Facebook.
🔘 Kwenye maudhui yako ya video kwenye wasifu wako wa Facebook, uwe na jumla ya angal...
View original post
RT @NjiwaFLow: 💨 Watu wengi wamekuwa wakiuliza kuwa utawezaje ku-record simu zinazopigwa kwa kutumia simu yako ya Samsung!
Mostly, kuna baadhi ya model za Samsung zinasupport hii feature na nyingine zinakataa!
Zinazokataa unaweza uka-root na ku-add hii feature kwenye simu
Mostly, kuna baadhi ya model za Samsung zinasupport hii feature na nyingine zinakataa!
Zinazokataa unaweza uka-root na ku-add hii feature kwenye simu
🆕 Kesi ya Epic Games dhidi ya Google imechukua mkondo tofauti sana na vita yake ya mahakama na Apple.
Kulingana na The Verge, mahakama imeafikiana kwa kauli moja kwamba Google ilikuwa na ukiritimba haramu wa usambazaji wa programu na huduma za ulipaji wa ndani ya programu kwa vifaa vya Android.
Google na Apple zimelaumiwa kwa kuweka ubinafsi na ukiritimba katika kukuza biashara zao kwenye Apps na kuzionea kampuni na apps nyingine ambazo ni shindani.
Kulingana na The Verge, mahakama imeafikiana kwa kauli moja kwamba Google ilikuwa na ukiritimba haramu wa usambazaji wa programu na huduma za ulipaji wa ndani ya programu kwa vifaa vya Android.
Google na Apple zimelaumiwa kwa kuweka ubinafsi na ukiritimba katika kukuza biashara zao kwenye Apps na kuzionea kampuni na apps nyingine ambazo ni shindani.