bongotech255 - Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye...
bongotech255 - Home | Facebook
Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye Whatsapp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari ??
1️⃣ kutumia WhatsApp mods Mtu yeyote anayetumia WhatsApp mods jihadhari kama vile Whatsapp gb,fm nk unaweza kufungiwa na kufutiwa akaunti yako muda wowote. Ukitumia Whatsapp gb , utakua na uwezo wa kupost status mpaka ya dakika 5, kutuma files kubwa kubwa ,kuchukua status za wenzako na nk lakini Whatsapp watakufungia muda wowote. Kwa kuwa program nyingi za Whatsapp mods usalama wake ni mdogo ni rahisi mtu kudukuliwa kupitia link anazotumiwa pia matangazo mengi ivyo simu yako ni Rahisi kuingiliwa na virus au malware. 2️⃣ kutuma maudhui ya...
View original post
bongotech255 - Home | Facebook
Fahamu baadhi ya mambo ukifanya kwenye Whatsapp utafungiwa akaunti yako siku yoyote jihadhari ??
1️⃣ kutumia WhatsApp mods Mtu yeyote anayetumia WhatsApp mods jihadhari kama vile Whatsapp gb,fm nk unaweza kufungiwa na kufutiwa akaunti yako muda wowote. Ukitumia Whatsapp gb , utakua na uwezo wa kupost status mpaka ya dakika 5, kutuma files kubwa kubwa ,kuchukua status za wenzako na nk lakini Whatsapp watakufungia muda wowote. Kwa kuwa program nyingi za Whatsapp mods usalama wake ni mdogo ni rahisi mtu kudukuliwa kupitia link anazotumiwa pia matangazo mengi ivyo simu yako ni Rahisi kuingiliwa na virus au malware. 2️⃣ kutuma maudhui ya...
View original post